Mkuu wa Wilaya ya Babati Mkoani Manyara, Crispin Meela (kulia) akipokea
moja kati ya msaada wa mashuka 100 yaliyotolewa na Mfuko wa Taifa wa
Bima ya Afya (NHIF) kwa ajili ya kutumiwa na wagonjwa wa hospitali ya
mji wa Babati (Mrara) anayemkabidhi ni meneja wa NHIF Mkoani humo, Isaya
Shekifu.Picha Zote na Joseph Lyimo, MANYARA.
Mkuu wa Wilaya ya Babati Mkoani Manyara, Crispin Meela akizungumza mara
baada ya kupokea msaada wa mashuka 100 yaliyotolewa na Mfuko wa Taifa wa
Bima ya Afya (NHIF) kwa ajili ya kutumiwa na wagonjwa wa hospitali ya
mji wa Babati (Mrara), kushoto ni meneja wa NHIF mkoani humo, Isaya
Shekifu na kulia ni Ofisa ushirika wa halmashauri ya mji huo Keneth
Shemdoe.
Baadhi ya wakazi wa mji wa Babati Mkoa wa Manyara, wakishuhudia Mkuu wa
Wilaya ya Babati Crispin Meela akikabidhiwa msaada wa mashuka 100
yaliyotolewa na Meneja wa mfuko wa Taifa wa bima ya afya (NHIF) mkoani
humo, Isaya Shekifu kwa ajili ya hospitali ya mji huo (Mrara) ambayo
inakabiliwa na upungufu wa mashuka ya kujifunikia wagonjwa wanaolazwa.
Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) Mkoa wa Manyara, Isaya
Shekifu akizungumza mara baada ya kumkabidhi Mkuu wa Wilaya ya Babati
Crispin Meela mashuka 100 waliyotoa msaada kwenye hospitali ya mji wa
Babati (Mrara), ambayo inakabiliwa na upungufu wa mashuka kwa wagonjwa.
Mkuu wa Wilaya ya Babati Mkoani Manyara, Crispin Meela (kulia) akipokea
msaada wa mashuka 100 yaliyotolewa na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya
(NHIF) kwa ajili ya kutumiwa na wagonjwa wa hospitali ya mji wa Babati
(Mrara) anayemkabidhi ni meneja wa NHIF Mkoani Manyara, Isaya Shekifu.
0 comments:
Post a Comment