Kivuko cha Mv Kilombero kimezama jana usiku majira ya saa 1 kikifanya kazi ya kuvusha mali na watu na kuelezwa kikizama na watu na magari manne kufuatia upepo mkali uliosababisha kukiyumbisha na kupelekea kupoteza mwelekeo kisha kuzama.
Taarifa zaidi tunaendelea kufuatilia ili kuweza kujua maafa yaliyojitokeza.....
0 comments:
Post a Comment