Zaidi ya watu 120 wanadaiwa kunusuriki kifo baada ya kivuko cha MV11 Kilombero
kusukumwa na upepo mkali ulioambatana na mvua kubwa iliyokuwa ikinyesha kisha
kupinduka kabla ya kugonga daraja la muda la wachina wakati kikivusha mali na watu kutoka ng’ambo ya wilaya ya Ulanga
kwenda wilaya nyingine ya Kilombero majira ya saa 1:30 jana mkoani
Morogoro.
HALI HALISI BAADA YA KIVUKO CHA MV11 KILOMBERO KUPINDUKA MTO KILOMBERO MOROGORO NDIYO HII.
Zaidi ya watu 120 wanadaiwa kunusuriki kifo baada ya kivuko cha MV11 Kilombero
kusukumwa na upepo mkali ulioambatana na mvua kubwa iliyokuwa ikinyesha kisha
kupinduka kabla ya kugonga daraja la muda la wachina wakati kikivusha mali na watu kutoka ng’ambo ya wilaya ya Ulanga
kwenda wilaya nyingine ya Kilombero majira ya saa 1:30 jana mkoani
Morogoro.

0 comments:
Post a Comment