BUSARA NA HEKIMA ZA MAMLAKA YA MAWASILIANO NCHNI (TCRA)
Baada ya baadhi ya wamiliki wa simu feki kukosa mawasiliano, mamlaka ya mawasiliano nchni-TCRA- imeyataadharisha makampuni yanayojihusisha na uuzaji wa simu na mafundi kujitojihusisha ufundi utakaowezesha kuzuia azma ya serikali ya uzimaji wa simu hizi.
0 comments:
Post a Comment