Wanasheria 15 wameeleza kuwa Professa Ibrahim Lipumba bado mpaka sasa yeye ndiye mwenyekiti wa chama cha wananchi (CUF) kwa mujibu wa chama hicho.
Wasomi hao wa sheria wanapingana na wanasiasa wanaodai kwamba Prof Lipumba amekwisha jiuzulu uenyekiti hii ni kutokana na Katiba ya chama hicho cha Cuf.
Wakili Msomi wa Mahakama kuu L W Lugaye alisema kuwa "ili Prof Lipumba awe amejiuzulu uenyekiti ni lazima (sio ombi) barua yake ipelekwe katika mkutano mkuu wa Taifa wa Cuf na iweze kujadiliwa"
Taratibu za Professa Lipumba kujiuzulu bado hazijakamilika hivyo ni makosa kisheria kuitisha uchaguzi ndani ya Cuf kwa nafasi ya kujaza nafasi ya mwenyekiti.
"MADHARA YA KULAZIMISHA JAMBO HILI NI MAKUBWA SANA KISHERIA"
Kama Msajili wa vyama Mhe MUTUNGI akifuata SHERIA bila kumuonyea HAYA mtu kunaweza kutokea MGOGORO mkubwa sana hata KUKIFUTA CHAMA.
Nafasi ya Mwenyekiti wa Cuf HAIPO WAZI KISHERI haipaswi kujazwa wala kuitishwa uchaguzi kwa mujibu wa KATIBA Cuf.
NIMEISOMA KATIBA YOTE NASUBIRI KUONA MSAJILI KAMA ATABARIKI UVUNJIFU HUU WA KATIBA
Nafahamu chama cha Cuf kinawasomi wa SHERIA lakini sijui kwanini wanashindwa KUWASHAURI viongozi wao KITAALUMA na badala yake Wanawafurahisha.
LAKINI HATA HIVYO KILA MCHANGIA ALIKUWA NA NENO ALILOONA LINAFANYA KUCHANGIA.
Dickson Luambano Infomer wa ccm,achaneni nae.
Rashidi Mkwinda Cuf
ya prof Lipumba IGP mahita anaonyesha visu tv zote na Cuf hawana
pakukanusha na muda wa kampen umeisha.utafananisha na Cuf hii
iliyobatizwa na ukawa.twaha tasilima hajui hata kuongea km kanywa viroba
vya chadema.tupa kule.Lipumba kwanza mengine baadae.
Advano Sankwa Huna hoja yoyote Lipumba alishajiuzuru wadhifaa wake
Chesco Ashery 7 watetezi wa wasaliti wapo wengi,,
Emmanuel Syllas labda lipumba ni mwenyekiti was cuf ya ruanda alikoenda wakati wa uchaguzu kutanua baada ya kuongwa na ccm
Lackson Kosmas Mtuma post huna upeo wa kutosha acha ujinga ujinga
Renatus Christopher Kiure Mtuma
post ni kilaza inaelekea mtu kajiuzuru Katamkia dunia yote BBC.dochvile
kasaliti wakati chama kiko kwenye mapambano ya uchaguzi kaenda Rwanda
Leo chama kimepata wabunge wengi tofauti na miaka yote anaibuka anatk
uenyekiti kwa lipi?mshaurini agombee tena akishinda hapo sawa
Pafu Mazina Lipumba
hafai hata kidogo, mwanajeshi gani anayerudi nyuma wakati wa mapambano
ya vita baada ya mapambano aombe arudishwe kikosini, kifupi hafai hata
kama tunajua uzuri wake, amepoteza waledi wa kuwa mwenyekiti wa Chama,
nyuma ya pazia kuna kitu kinach...See more
Godwin Mallya Naye akae pembeni wapo watu wanaoweza kuongoza... Awe mlezi sasa.
Tausi Swalehe Ndi ndiii ndiiii ndiiiiii
Mudhakiru Dauda Hivi what is so special behind the return of lipumba in his chairmanship post he resigned last year?
https://www.facebook.com/groups/222349424535604/permalink/829123477191526/
0 comments:
Post a Comment