BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

NAIBU SPIKA WA BUNGE AWASIMAMISHA WABUNGE WAWILI WA CHADEMA KUTOHUDHURIA VIKAO VYA BUNGE KWA KOSA LA KUSEMA UONGO

Naibu Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson

Naibu Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson amewasimamisha wabunge wawili wa Viti Maalum Chadema baada ya kupatikana na hatia ya kusema uongo na kutoa taarifa ambazo hazina ukweli bungeni.

Dk Tulia amemsimamisha Suzan Lyimo kutohudhuria vikao vitano na Anatropia Theonest kutohuduria vikao vitatu baada ya kupokea taarifa ya Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge iliyowasilishwa bungeni leo iliyokuwa ikieleza kuhusu tuhuma za wabunge hao.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: