BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

NI PICHA YA KUMBUKUMBU LAKINI NDANI YAKE FURAHA IMEJAA TELE.




Rais wa jamhuri wa muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli wa pili kutoka kushoto akifurahia jambo na marais wastaafu waliowahi kuongoza nchi ya Tanzania.

Kutoka kushoto ni rais mstaafu awamu ya pili Alhaji Aly Hassan Mwinyi, rais mstaafu awamu ya tatu, Benjamin William Mkapa wa kwanza kulia na rais mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete rais mstaafu awamu ya nne.

Picha hiyo ilipigwa hivi karibuni katika moja ya hafla za kiserikali.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: