BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

HABARIM MPYA !!! PROFESA IBRAHIM LIPUMBA ASALIMU AMRI CHAMA CHA WANANCHI CUF.

Profesa Ibrahim Lipumba (katikati) akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo.

Mwenyekiti wa zamani wa CUF, Prof Ibrahim Lipumba ameeleza kuwa amemwandikia Katibu Mkuu wa chama hicho barua ya kutengua uamuzi wake wa kujiuzulu nafasi ya mwenyekiti wa chama hicho kikongwe nchi cha upinzania (CUF).

Prof Lipumba aliongeza kwa kusema kuwa kwaa sasa anasubiri majibu toka kwa Katibu Mkuu, Maalim Seif baada ya ombi lake kujadiliwa na ngazi za juu za kichama.

Akizungumzia Bajeti ya mwaka wa Fedha 2016/17 yenye thamani ya zaidi ya Trilioni 29.5 alieleza kuwa haiendani na uhalisia wa bajeti hiyo.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: