BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

IKIWA HIVI YANGA SC KUTINGA NUSU FAINALI YA KOMBE LA MABINGWA AFRIKA 2016.

NAMNA YANGA ANAVYOWEZA KUPITA KWENYE KUNDI LAKE KWENYE CAF CONFEDERATION CUP 2016.


Baada ya TP Mazembe jana kuifunga MO Bejaia bao 1-0 msimamo wa kundi lao upo kama ifuatavyo.

1. TP Mazembe 10
2. Mo Bejaia 5
3. Medeama 5
4. Young Africans 1.

Mechi zijazo ni
- Young Africans vs MO Bejaia (Taifa)
- TP Mazembe vs Medeama (Ghana)
Young Africans AMFUNGE MO Bejaia Taifa,
Mazembe amfunge Medeama. 


Msimamo unakuwa hivi.
1. TP Mazembe 13
2. Mo Bejaia 5
3. Medeama 5
4. Young Africans 4.

Mechi za mwisho
- MO Bejaia vs Medeama
- TP Mazembe vs Young Africans
Young Africans AMFUNGE TP Mazembe, MO
Bejaia vs Medeama isitoe mshindi.

Msimamo WA MWISHO unakuwa hivi.
1. TP Mazembe 13
2. Young Africans 7
3. Mo Bejaia 6
4. Medeama 6
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: