BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

ONDOA KITAMBI KWA NJIA RAHISI


Chukua jagi kubwa na weka vifuatavyo:
1. Maji na slice za:
2. Matango yaliyokatwakatwa
3. Malimao au Ndimu
4. Mdalasini
5. Tangawizi au Manjano ukiweza kupata
6. Majani ya mint (ukipata)


Weka mchanganyiko kwenye friji na tumia kama maji ya kawaida. Ukipenda maji yakiisha weka maji mapya, ila ni vizuri zaidi ukila hayo matunda na kuweka mengine fresh. 


Ukiachana na kuondoa mafuta ya tumbo, mchanganyiko huu ni mzuri kwa kuondoa sumu mwilini. Kama ladha unaiona kali sana, ruksa kuongeza kijiko cha asali.

Tembelea ukurusa huu kupata faida zaidi kwa kubofya link hapa chini.

https://www.facebook.com/sirizakupungua/?fref=photo
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: