BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

WAUMINI WA DINI YA KIISLAMU KUSWALI ED EL FITR KESHO BAADA YA MWEZI KUANDAMA.

Kwa mujibu wa Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh Abubakary Zubeiry mwezi umeandama maghalribi ya  leo Julai 05 na kesho ni Sikukuu ya Eid Fitr.

Waumini wa dini ya kiislamu wataswali swala ya ed el fitr baada ya kumalizika kwa mfungo wa mwezi mtukufu wa ramadhani unaowalazimu waumini hao kujizuia kula chochote kwa kipindi cha mwezi mzima ikiwa ni moja ya ibada muhimu.

Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: