BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

YANGA SC NA MEDEAMA ZASHINDWA KUTAMBIANA KOMBE LA WASHINDI UWANJA WA TAIFA.

Sare iliyoambulia klabu ya Yanga SC dhidi ya Medeama ya bao 1-1 imejiweka katika mazingira magumu ya kufuzu hatua inayofuata ya kombe la mashindi.

Kutokana na nafasi walizopata za wazi ikiwemo ya Chirwa kipindi cha kwanza na Tambwe kipindi cha pili licha ya kuanza vizuri kipindi cha kwanza kabla ya wenyeji wao hawajaweza kupata bao la kusawazisha.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: