BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

MCHUNGAJI AFARIKI DUNIA BAADA YA KUFUNGA KWA SIKU 30 AKIJARIBU KUJIPAMBANISHA NA YESU KRISTO


Mchungaji wa South Africa Alfred Ndlovu (44) amefariki baada ya kufunga usiku na mchana kwa siku thelathini akitaka kuvunja rekodi ya Yesu Kristu aliyefunga siku Arobaini usiku na mchana bila kula wala kunywa kitu chochote.

Mchungaji Alfred aliondoka nyumbani kwake tarehe 17/6/2016 na kuelekea nyikani kwa ajili ya kufunga na kuomba, huku akiweka nia kwa Mungu na kujitenga na anasa za ulimwengu. Alikuwa peke yake nyikani na maiti yake ilionwa na mpita njia aliyetoa taarifa polisi.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: