BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

PEKUAPEKUA MTANDAONI AUGOSTO MOSI MWAKA 2016 KUTOKA KWA FAHM DOVUTWA-UPDP.

Rais Magufuli kulia na Mwenyekiti UPDP, Dovutwa.

“Kama si busara za CCM kumteua Magufuli kugombea urais wa Tanzania, hali ya nchi ingekuwa mbaya na taifa lingekuwa kwenye hatari zaidi kwa sababu genge la wala rushwa, wakwepa kodi na majangili waliamua kuingilia uchaguzi na kupanga ni nani awe kiongozi”, Fahmi Dovutwa Mwenyekiti wa Chama cha UPDP.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: