Tetemeko hilo lilielezwa kuwa na ukubwa wa 5.7 katika vipimo vya majanga hayo kimataifa, na kwa mujibu wa mtandao wa kompyuta wa earthquaketrack.com ndilo kubwa zaidi katika historia kutokea nchini katika miaka ya 2010.
Mvua hiyo ya juzi iliyoambatana na upepo mkali, ilinyesha usiku na kusababisha athari kadhaa, ikiwamo kuharibu mazao mashambani na watu watatu kujeruhiwa.

0 comments:
Post a Comment