BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

MAHARUSI WALIOFARIKI KWA AJALI YA KUSOMBWA NA MAJI YA MAFURIKO KUZIKWA KESHO ARUSHA


Picha ya maktaba bwana na bibi harusi wakiwa ndani ya maji wakati wa hafla yao ya kufunga ndoa.

Arusha. Maharusi Munisi Roy (25) na Nembrice Munyaga (20) waliofariki kutokana na mafuriko Februari 24, wanatarajiwa kuzikwa kesho katika kijiji cha Ilkisongo Kata ya Sambasha wilayani Arumeru mkoani Arusha.

Maharusi hao, walifariki juzi baada ya kuzolewa na mafuriko wakiwa kwenye gari dogo aina ya Toyota Premio, pamoja na ndugu wengine watatu. Diwani wa kata ya Sambasha, Roy Sabaya amesema marehemu hao watazikwa baada ya kukamilika taratibu za mazishi.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: