BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

RAIS MAGUFULI AMTEUA MTU WA UPINZANI KUWA KATIBU MKUU WIZARA YA MAJI NA UMWAGILIAJI


Mh.Rais Dkt.John Pombe Joseph Magufuli Leo amemteua Prof Kitila Alexander Mkumbo kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Maji na Umwagiliaji.

Prof Kitila Mkumbo ni Msomi na mhadhiri wa Chuo Kikuu Cha Dar es salaam, na Kada wa Chama cha ACT wazalendo.

Rais Dkt.John Pombe Joseph Magufuli ameteua mtu kutoka chama cha upinzani kama sehemu ya kutojali vyama vyao, bali uwezo wao wa utendaji kazi na uweledi.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: