AZAM FC WAINASA SAINI YA MSHAMBULIAJI WA TOTO AFRICA YA MWANZA WAZIRI JUNIOR KWA MKATABA WA MIAKA MIWILI
Klabu ya Azam Fc imeinasa saini ya mshambuliaji wa Toto Africa ya Mwanza, Wazir Junior baada ya kumsajili kwa mkataba wa miaka miwili kuitumia klabu hiyo katika msimu ujao wa mwaka 2017/2018.
0 comments:
Post a Comment