BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

TUNDU LISSU AACHIWA HURU NA MAHAKAMA YA KISUTU DAR ES SALAAM

Rais wa Chama cha wanasheria Tanganyika,Mhe. Tundu Lissu ameachiwa kwa dhamana ya Milioni 10 leo, katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, ambapo anakabiliwa na kesi ya uchochezi.

Mahakama ya Kisutu imempa dhamana Mh.Tundu Lissu kwa sharti la kuwa na wadhamini wawili watakaosaini dhamana ya thamani ya milioni kumi, Aidha imemtaka Tundu Lissu kutokuondoka nje ya jiji la Dar es Salaam bila kuwa na kibali maalum cha Mahakama.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: