BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

TUNDU LISSU AKAMATWA UWANJA WA NDEGE WAKATI AKIELEKEA KIGALI NCHINI RWANDA LEO

Mwanasheria mkuu wa Chadema, Tundu Lissu amekamatwa na polisi wa jeshi la polisi akiwa uwanja wa ndege wakati akielekea kupanda ndege ili kwenda Kigali nchini Rwanda. 

Kwa mujibu wa Wakili Msomi, Fatma Karume amenithibitisha kwamba Mwanasheria huyo amekamatwa leo wakati akijitayarisha kuondoka ndipo na  jeshi la polisi kumkamata na kwenda naye kituo kikuu cha Polisi jijini Dar es Salaam.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: