BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

BOSI WA MWANANCHI COMMUNICATION LTD AFANYA KAZI YA KUUZA MAGAZETI YA MWANASPOTI DAR.

Mhariri Mkuu wa kampuni ya Mwananchi Communications Ltd, Frank Sanga akiwa mwenye furaha huku akiwa na lundo la magazeti ya MWANASPOTI mkononi wakati akiyauza kwa watu mbalimbali katika moja ya mitaa ya jiji la Dar es Salaam ikiwa ni sehemu ya utambulisho wa muonekano mpya wa gazeti hilo la michezo linalopendwa zaidi nchini.

Uzinduzi huo ulifanyia jana na leo sehemu kubwa ya mabosi wa kampuni hiyo wamelinadi gazeti hilo kwa kuuza nakala katika kila kona ya jiji hilo kisha uzinduo huo utaendelea mikoa mbalimbali ya na nje ya nchi.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: