BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

Gaddafi apinga kutambuliwa kwa Baraza la Mpito la Waasi wa Libya


Kiongozi wa Libya Muammar Gaddafi amepinga hatua iliyochukuliwa na kundi la nchi na taasisi za kimataifa 40, kulitambua Baraza la Mpito la Waasi wa Libya kama chombo halali kinachowakilisha wananchi wa Libya.

Kundi hilo la mashauriano kuhusu Libya, lilikutana jana mjini Istanbul Uturuki. Katika mkutano huo, lilitangaza kutambuliwa kwa baraza la waasi kama mwakilishi wa watu wa Libya na " serikali yenye mamlaka". Marekani imeungana na mataifa mengine makuu kuwatambua waasi wa Libya kama chombo halali cha uongozi nchini Libya.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: