BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

MKUTANO WA SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA NA WAHARIRI WA VYOMBO VYA HABARI WAFANYIKA MOROGORO.

Mkurugenzi Mkuu wa shirika la nyumba la taifa (NHC) Nehemiah Kyondo Mchechu kushoto akizungumza na waandishi wa hariri wa vyombo vya habari mara baada ya kumalizika kwa mkutano wa shirika hilo kuhusu shughuli mbalimbali zinazofanywa likimeo la miradi mbalimbali katika ujenzi wa nyumba za biashara katika ukumbi wa Glonency Nane Nane mkoani Morogoro
 Mkurugenzi Mkuu wa shirika la nyumba la taifa (NHC) Nehemiah Kyondo Mchechu akifafanua jambo wakati akizungumza na wahariri wa vyombo vya habari katika mkutano wa shirika hilo kuhusu shughuli mbalimbali zinazofanywa likimeo la miradi mbalimbali katika ujenzi wa nyumba za biashara katika ukumbi wa Glonency Nane Nane mkoani Morogoro
 Mkurugenzi Miliki katika shirika la nyumba la taifa (NHC) Hamad Abdalla akifafanua jambo kuhusu kitengo hicho wakati wa mkutano huo kulia ni Mhariri Mtendaji Mkuu wa kampuni ya Mwananchi Communications Ltd (MCL) Theophil Makunga.
Mhariri msanifu mkuu wa gazeti la mwananchi  Communications Ltd (MCL) Rashid Kejo akichangia jambo katika mkutano huo.
 Mhariri Mtendaji wa gazeti la Tanzania Daima, Absalom Kibanda kushoto akizungumza jambo katika mkutano wa shirika la nyumba la taifa (NHC) na wahariri wa vyombo vya habari wenye lengo la kuwaelezea shughuli mbalimbali zinazofanywa na shirika hilo likimeo la miradi ujenzi ya nyumba za biashara ambao umefanyika mkoani Morogoron katika ukumbi wa Glonency Nane Nane mkoani hapa, kulia ni Mhariri Mtendaji Mkuu wa kampuni ya Mwananchi Communications Ltd (MCL) Theophil Makunga.
Mhariri wa gazeti la Daily News, Marycelina Masha akichangia jambo katika mkutano huo.
WAHARIRI Watendaji wa kampuni ya Mwananchi Communications Ltd (MCL) Frank Sanga gazeti la Mwanaspoti kushoto gazeti la The Citizen, Bakari Machumu kulia akibadilishana mawazo wakati wakielekea katika chumba cha mkutano wa shirika la nyumba la taifa (NHC) na wahariri wa vyombo vya habari uliohusu shughuli mbalimbali zinazofanywa na shirika hilo juu ya miradi mbalimbali ya ujenzi ya nyumba za biashara ambapo mkutano huo ulifanyika Glonency Hoteli Nane Nane mkoa wa Morogoro.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: