BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

WATOTO WAKIPUKUCHUA MAHINDI BAADA YA WAZAZI WAO KUVUNA KATIKA KIJIJI CHA MINDU MANISPAA YA MOROGORO.

Watoto wakazi wa Mindu Manispaa ya Morogoro wakishirikiana kupukuchua mahindi nje ya nyumba yao ili kwenda kusaga na kupata unga kwa ajili ya chakula baada ya kazi ya wazazi wao kuvuna katika shambani wakati huu wa msimu wa mavuno mbalimbali wa mazao mkoani hapa.



Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: