Mwendesha pikipiki maarufu kama bodaboda katika mji mdogo wa Matombo wilaya ya Morogoro Vijijini akiwa amepakia abiria zaidi ya mmoja ikiwa ni moja ya uvunja wa sheria za usalama barabarani ambapo elimu ya usalama barabarani inapaswa kutolewa kwenye ngazi ya kaya ili walenga hao kupata elimu stahiki tofauti na hivi jukumu hilo limeachiwa na jeshi la Polisi kitengo cha usalama barabarani. Picha JUMAMTANDA.BLOGSPOT.COM
MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO
- Blogger Comment
- Facebook Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments:
Post a Comment