
naume.
Tukio hilo la kujidhalilisha lilijiri katika baa maarufu ya Corner iliyopo Sinza-Afrikasana, Dar, majira ya asubuhi wakati watu wakiwa kwenye mishemishe za kuwahi kazini.
Katika tukio hilo, mmoja wa warembo hao alikuwa akilalamika kuwa kuna mwanaume walikubaliana kwenda kuvunja amri ya sita fastafasta ili awahi kazini lakini akazidiwa ujanja na shosti wake hivyo akataka kukomboa chake na ndipo alipotolewa manundu.
Katika timbwili hilo lililojaza kadamnasi,
wanaume walishuhudia sinema ya bure baada ya mmoja wa warembo hao kula
kipigo kizito na kuvuliwa nguo ambapo alibaki wazi sehemu za makalio.
0 comments:
Post a Comment