BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

MGOMBEA URAIS UKAWA EDWARD LOWASSA NA KAMPENI ZA URAIS KATIKA UCHAGUZI MKUU OKTOBA 25 TANZANIA.

PICHA: Mgombea urais wa Ukawa, Edward Lowassa akiongea na Muuza Maharage wa Soko la Tandale mapema leo asubuhi ili kuweza kutambua changamoto zinazowakabili wafanyabiashara hao jijini Dar es Salaam.



Picha ya chini: Lowassa akiwa na kikombe cha chai kutoka kwa mama ntilie huku juu wakazi hao wakiwa wamekusanyika pamoja naye.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: