Sagrada Esparanca walihitaji ushindi wa bao 3-0 nyumba ili kusonga hatua ya pili lakini kutokana na kupata ushindi wa bao 1-0 wamekubalia kuacha Yanga SC kusonga mbele kufuatia mchezo wa awali kufungwa bao 2-0 katika mchezo uliofanyika hivi karibuni jijini Dar es Salaam
YANGA SC HIYO YASONGA HATUA YA MAKUNDI KOMBE LA SHIRIKISHO BAADA YA KUFUNGWA BAO 1-0 NA SAGRADA ESPRANCA YA ANGOLA
Sagrada Esparanca walihitaji ushindi wa bao 3-0 nyumba ili kusonga hatua ya pili lakini kutokana na kupata ushindi wa bao 1-0 wamekubalia kuacha Yanga SC kusonga mbele kufuatia mchezo wa awali kufungwa bao 2-0 katika mchezo uliofanyika hivi karibuni jijini Dar es Salaam
0 comments:
Post a Comment