BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

UNALIPISHWA FAINI KISHA UNAPIGWA PICHA NA KUSAMBAZWA KATIKA MITANDAO

 
Jeshi la Polisi limeanza kutekeleza mtindo mpya wa kuwaadhibu madereva wote wanaotumia barabara ya mabasi ya mwendo kasi na kuvunja sheria za Barabarani. Mtindo huo wa adhabu unajumuisha kumkamata dereva, kumuandikia makosa na kulipa faini na pia kumpiga picha na kuzisambaza mitandaoni ili wahusika waone "uchungu" wa kosa na wengine wajifunze kupitia adhabu hizo.

Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: