BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

๐—™๐—”๐—œ๐——๐—” ZA ULAJI WA ๐—ง๐—œ๐—ž๐—˜๐—ง๐—œ ๐— ๐—”๐—๐—œ KWA ๐—”๐—™๐—ฌ๐—” YA MWANADAMU HUONGEZA PIA NGUVU ZA KIUME



Na fadhilipaulo.com 

Tunda hili lina faida nyingi pamoja na kuwa ni chanzo kikuu cha Protini, Mafuta, Nyuzinyuzi, Wanga,Calcium, Phosphorus, Chuma,Vitamin A,B6,C. Potasium, Magnesium, Carotene, anthocyanins na Virutubisho vingine vingi.

Tunda linasaidia kuwa na uwezo mkubwa wa kuimalika kwa misuli na mfumo wa fahamu kufanya kazi zake vizuri na kuondoa katika hatari ya kupata shinikizo la damu.


Faida 13 za tikiti maji kiafya

โ€ข Asilimia 92 yake ni maji
โ€ข Vitamini A ndani yake huboresha afya ya macho
โ€ข Vitamini C ndani yake huimarisha kinga ya mwili,
โ€ข Huponya majeraha,
โ€ข Hukinga uharibifu wa seli
โ€ข Huboresha afya ya meno na fizi
โ€ข Vitamini B6 husaidia ubongo kufanya kazi vema
โ€ข Hubadilisha protin kuwa nishati
โ€ข Chanzo cha madini ya potasiamu
โ€ข Husaidia kushusha na kuponya shinikizo la damu
โ€ข Hurahisisha mtiririko wa damu mwilini
โ€ข Huondoa sumu mwilini
โ€ข ๐—›๐˜‚๐—ผ๐—ป๐—ด๐—ฒ๐˜‡๐—ฎ ๐—ป๐—ด๐˜‚๐˜ƒ๐˜‚ ๐˜‡๐—ฎ ๐—ธ๐—ถ๐˜‚๐—บ๐—ฒ ๐—ต๐—ฎ๐˜€๐—ฎ ๐˜‚๐—ธ๐—ถ๐—น๐—ฎ ๐—ฝ๐—ฎ๐—บ๐—ผ๐—ท๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐—บ๐—ฏ๐—ฒ๐—ด๐˜‚ ๐˜‡๐—ฎ๐—ธ๐—ฒ
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: