𝗙𝗔𝗜𝗗𝗔 ZA ULAJI WA 𝗧𝗜𝗞𝗘𝗧𝗜 𝗠𝗔𝗝𝗜 KWA 𝗔𝗙𝗬𝗔 YA MWANADAMU HUONGEZA PIA NGUVU ZA KIUME
Na fadhilipaulo.com
Tunda hili lina faida nyingi pamoja na kuwa ni chanzo kikuu cha Protini, Mafuta, Nyuzinyuzi, Wanga,Calcium, Phosphorus, Chuma,Vitamin A,B6,C. Potasium, Magnesium, Carotene, anthocyanins na Virutubisho vingine vingi.
Tunda linasaidia kuwa na uwezo mkubwa wa kuimalika kwa misuli na mfumo wa fahamu kufanya kazi zake vizuri na kuondoa katika hatari ya kupata shinikizo la damu.
Faida 13 za tikiti maji kiafya
• Asilimia 92 yake ni maji
• Vitamini A ndani yake huboresha afya ya macho
• Vitamini C ndani yake huimarisha kinga ya mwili,
• Huponya majeraha,
• Hukinga uharibifu wa seli
• Huboresha afya ya meno na fizi
• Vitamini B6 husaidia ubongo kufanya kazi vema
• Hubadilisha protin kuwa nishati
• Chanzo cha madini ya potasiamu
• Husaidia kushusha na kuponya shinikizo la damu
• Hurahisisha mtiririko wa damu mwilini
• Huondoa sumu mwilini
• 𝗛𝘂𝗼𝗻𝗴𝗲𝘇𝗮 𝗻𝗴𝘂𝘃𝘂 𝘇𝗮 𝗸𝗶𝘂𝗺𝗲 𝗵𝗮𝘀𝗮 𝘂𝗸𝗶𝗹𝗮 𝗽𝗮𝗺𝗼𝗷𝗮 𝗻𝗮 𝗺𝗯𝗲𝗴𝘂 𝘇𝗮𝗸𝗲
0 comments:
Post a Comment