Sakata hilo ni baada ya DC huyo kuwataka wananchi wasilime mashamba yao kwa madai kuwa eneo hilo la ekari 500 linamilikiwa na mwekezaji.
Baada ya mkuu huyo kuwatolea lugha chafu na kuamuru mwenyekiti wa kijiji akamatwe wananchi walijawa na hasira na kuanza kuushambulia msafara wake.
DC huyo alilazimika kukimbia baada ya gari lake kupigwa mawe pia baadhi ya viongozi wa wilaya akiwemo Mwenyekiti wa Halmashauri walilazimika kuvalishwa hijjab na kutoroka.MTANZANIA
0 comments:
Post a Comment