BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

ULINZI SPORT CLUB ILIPOTWAA TAJI KOMBE LA MEI MOSI MORO.

ULINZI SPORT CLUB ILIPOTWAA TAJI KOMBE LA MEI MOSI MORO.

Nohodha wa timu ya soka ya Ulinzi Sport Club Charles Thimoth akifurahia kombe baada ya timu yake kutwaa ubingwa wa mashindano ya Mei Mosi kw...
Read More
Wachezaji wa timu ya soka ya Ulinzi Sport Club wakishangia huku wakiwa na kombe la ubingwa wa mchezo huo baada ya kuifunga timu ya Tumbaku F...
Read More
UKAGUZI KABLA YA KUJA UGENI KATIKA UWANJA WA JAMHURI MORO.

UKAGUZI KABLA YA KUJA UGENI KATIKA UWANJA WA JAMHURI MORO.

Mkuu wa mkoa wa Morogoro Issa Machibya kushoto akifafanua jambo kwa baadhi ya wanakamati wa ulinzi na usalama mkoa huo wakati walipotembelea...
Read More
AJALI YA GARI DOGO NA PIKIPIKI.

AJALI YA GARI DOGO NA PIKIPIKI.

Wakazi wa Manispaa ya Morogoro wakiangalia pikipiki T 373 BNC iliyogngwa na gari dogo T 701 BAD baada ya kutokea ajali katika barabara ya Mi...
Read More
SIJUI WANAONGEA NINI WAKUU WAO.

SIJUI WANAONGEA NINI WAKUU WAO.

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dk Haji Mponda kushoto akimsikiliza mkuu wa mkoa wa Morogoro Issa Machibya wakati wa ufunguzi wa kikao cha...
Read More
MWENYEKITI NISIKILIZE MKATENEGENEZE BARABARA MBOVU SANA.

MWENYEKITI NISIKILIZE MKATENEGENEZE BARABARA MBOVU SANA.

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dk Haji Mponda kushoto akimsikiliza mkuu wa mkoa wa Morogoro Issa Mchibya wakati wa ufunguzi wa kikao cha ...
Read More
WAZIRI WA FEDHA NA AFYA USATWI WA JAMII KATIKA KIKAO CHA BARABARA MKOA WA MOROGORO.

WAZIRI WA FEDHA NA AFYA USATWI WA JAMII KATIKA KIKAO CHA BARABARA MKOA WA MOROGORO.

Waziri wa Fedha Mustafa Mkulo kushoto akitoa ufafanuzi wakati wa ufunguzi wa kikao cha 27 cha bodi ya barabara mkoa wa Morogoro kilichofanyi...
Read More
MIWA TUNATAFUTA WATEJA.

MIWA TUNATAFUTA WATEJA.

Wachuuzi wa miwa katika Manispaa ya Morogoro wakikokota baiskeli zilizoshehe miwa wakati wakitoka kijiji cha Misonge kwa ajili ya kuwauzia w...
Read More
KIKOSI CHA ULINZI SPORT CLUB AMBACHO KILITOA KIPIGO KWA AFYA MEI MOSI.

KIKOSI CHA ULINZI SPORT CLUB AMBACHO KILITOA KIPIGO KWA AFYA MEI MOSI.

WACHEZAJI WA TIMU YA SOKA YA ULINZI SPORT CLUB WAKIWA KATIKA PICHA YA PAMOJA MUDA MFUPI KABLA YA KUTOA KIPIGO DHIDI YA TIMU YA AFYA SPORT CL...
Read More
TIMU YA AFYA SPORT CLUB AMBAYO IMEPIMEPOKEA KIPIGO KUTOKA KWA ULINZI SPORT CLUB RONO FAINALI MEI MOSI.

TIMU YA AFYA SPORT CLUB AMBAYO IMEPIMEPOKEA KIPIGO KUTOKA KWA ULINZI SPORT CLUB RONO FAINALI MEI MOSI.

KIKOSI CHA TIMU YA AFYA SPORT CLUB AMBACHO KIMEFUNGWA BAO 4-0 NA TIMU YA ULINZI SPORT CLUB MUDA MFUPI KABLA YA KUANZA KWA MCHEZO HUO UWANJA ...
Read More
HUYU ANADAIWA KUFANYA UHARIFU HAPA AKIDHIBITI ILI APELEKWE KITUONI

HUYU ANADAIWA KUFANYA UHARIFU HAPA AKIDHIBITI ILI APELEKWE KITUONI

Wakazi wa Manispaa ya Morogoro wakiwa wamemkwida kijana ambaye anadaiwa kufanya uharifu wakati wakifanya jitihada za kumzibiti ili wamfunge ...
Read More
NA HII NI AJALI NYINGINE.

NA HII NI AJALI NYINGINE.

Gari aina ya toyota prado lenye namba ya usajili T 786 AHF likiwa limetumbukia kwenye mtaro jirani na mzunguko wa Sua katika barabara ya Sab...
Read More
HII NI MFULUZIZO WA AJALI ZA BARABARANI MOROGORO

HII NI MFULUZIZO WA AJALI ZA BARABARANI MOROGORO

Wakazi wa Manispaa ya Morogoro wakiangalia gari aina ya toyota land cruser mara baada ya kupata ajili na kupinduka katika barabara ya Korogw...
Read More
AJALI YA BASI LA AL SAEDY LAPINDUKA MORO NA KUUA MAMA NA MTOTO

AJALI YA BASI LA AL SAEDY LAPINDUKA MORO NA KUUA MAMA NA MTOTO

BASI LA KAMPUNI YA AL SAEDY LIKIWA LIMEPINDUKA NA KUACHA NJIA KATIKA ENEO LA SANGASANGA KWA MWARABU NA KUSABABISHA VIFO VYA ABIRIA WAWILI MA...
Read More
MAJERUHI WA AJALI YA BASI LA AL SAEDY KATIKA WARD NO 1

MAJERUHI WA AJALI YA BASI LA AL SAEDY KATIKA WARD NO 1

SHIJA ISAMBA AKIHUDUMIWA NA WAUGUZI WA HOSPITALI YA MKOA WA MOROGORO
Read More
MTOTO AWADH FADHI (11) MKAZI WA KIMARA DAR ES SALAAM AKIWA WARD NO 1 AKIUGULIA MAUMIVU BAADA YA KUTOKEA AJALI.
Read More
NAWASILIANA NA NDUGU ZANGU.

NAWASILIANA NA NDUGU ZANGU.

MMOJA WA ABIRIA BASI LA L SAEDY AKIWA KATIKA WARD NO 1 YA HOSPITALI YA MKOA WA MOROGORO HUKU AKIWA AMEWEKEWA SIMU SIKIONI ILI KUWAJULISHA ND...
Read More
VIBAKA CHINI YA ULINZI

VIBAKA CHINI YA ULINZI

VIJANA AMBAO NI WAKAZI WA ENEO LA SANGASANGA WAKIWA CHINI YA ULINZI BAADA YA KUDAIWA KUTAKA KUPORA ABIRIA WALIOPATA AJALI KATIKA BASI LA AL ...
Read More
MTUHUMIWA CHINI YA ULIZNI BAADA YA KUDAIWA KUFANYA FUJO WAKATI KIKAO CHA MAHAKAMA KIKIENDELEA MORO.

MTUHUMIWA CHINI YA ULIZNI BAADA YA KUDAIWA KUFANYA FUJO WAKATI KIKAO CHA MAHAKAMA KIKIENDELEA MORO.

MAAFISA WA JESHI LA MAGERASKARI MANISPAA YA MOROGORO WAKIWA WAMEMKWIDA MWANAMAMA MMOJA AMBAYE ALIDAIWA KUFANYA FUJO KATIKA MAHAKAMA YA MWANZ...
Read More
ZIARA YA MBUNGE KATIKA JESHI LA POLISI NA MAGEREZA MORO.

ZIARA YA MBUNGE KATIKA JESHI LA POLISI NA MAGEREZA MORO.

MBUNGE WA JIMBO LA MOROGORO MJINI AZIZ ABOOD AKIWA NA BAADHI YA MAAFISA WA JESHI LA MAGEREZA MKOA WA MOROGORO MUDA MFUPI KABLA YA MBUNGE HUY...
Read More
UKAGUZI WA KITUO KIDOGO CHA POLISI KIMEUZULIWA PAA NA UPEPO.

UKAGUZI WA KITUO KIDOGO CHA POLISI KIMEUZULIWA PAA NA UPEPO.

MKUU WA UPELELEZI WA MAKOSA YA JINAI MKOA WA MOROGORO HAMIS SELEMAN KUSHOTO AKIWA NA MBUNGE WA JIMBO LA MOROGORO MJINI AZIZ ABOOD MARA BAADA...
Read More
HAPA MH MBUNGE AKIFAFANUA JAMBO MBELE YA ASKARI WA JESHI LA POLISI.

HAPA MH MBUNGE AKIFAFANUA JAMBO MBELE YA ASKARI WA JESHI LA POLISI.

MBUNGE WA JIMBO LA MOROGORO AZIZ ABOOD AKIFAFANUA JAMBO WAKATI AKIZUNGUMZA NA ASKARI WA JESHI LA POLISI MKOA HUO, KULIA NI KAMANDA WA POLISI...
Read More
KAMANDA WA POLISI MKOA WA MOROGORO ADOLPHINA CHIALO NI KAMA ANASEMA HIVI.

KAMANDA WA POLISI MKOA WA MOROGORO ADOLPHINA CHIALO NI KAMA ANASEMA HIVI.

TUNA MATATIZO MENGI MH MBUNGE UKITUSAIDIA UPATIKANAJI WA PILIPIKI KWA AJILI YA VIJANA WANGU KUFANYA KAZI YA DOLIA ITAFAA SANA HUKU MBUNGE WA...
Read More
RPC AKIMKARIBISHA MBUNGE MORO MJINI.

RPC AKIMKARIBISHA MBUNGE MORO MJINI.

MBUNGE WA JIMBO LA MOROGORO MJINI AZIZ ABOOD KULIA AKIPOKELEWA NA MWENYEJI WAKE AMBAYE NI KAMANDA WA JESHI LA POLISI MKOA WA MOROGORO ADOLPH...
Read More
CHUO CHA ARDHI MOROGORO CHAFANIKIWA KUPIMA VINJWA 4200 KATIKA MIKOA NANE KWA MWAKA 2010.

CHUO CHA ARDHI MOROGORO CHAFANIKIWA KUPIMA VINJWA 4200 KATIKA MIKOA NANE KWA MWAKA 2010.

WAHITIMU WA CHUO CHA ARDHI MOROGORO KUTOKA VERONICA GEORGE, ADAM MWIGUNE NA ANGEL MESS WAKIWA NA VYETI VYAO MARA BAADA YA KUHITIMU KOZI YA U...
Read More
KOMBE LA DUNIA LA CRECKET 2011.

KOMBE LA DUNIA LA CRECKET 2011.

KOMBE LA CRECKET 2011 AMBALO NCHINI YA INDIA ILITWAA UBINGWA WA DUNIA WA MASHINDANO HAYO MAKUBWA YA MCHEZO HUO KATIKA MCHEZO WA FAINALI DHID...
Read More
FURAHA YA UBINGWA WA DUNIA WA KOMBE LA CRICKET 2011.

FURAHA YA UBINGWA WA DUNIA WA KOMBE LA CRICKET 2011.

WACHEZAJI WA TIMU YA TAIFA YA INDIA KATIKA MCHEZO WA CRICKET WAKIFURAHIA USHINDI DHIDI YA SRI LANKA MARA BAADA YA KUIBUKA MABINGWA WA KOMBE ...
Read More
MASHABIKA WA SRI-LANKA HUZUNI KUKOSA KOMBE LA DUNIA CRICTET 2011.

MASHABIKA WA SRI-LANKA HUZUNI KUKOSA KOMBE LA DUNIA CRICTET 2011.

MASHABIKI WA NCHINI YA SRI LANKA WAKIWA WAMJEJISHIKA TAMA MARAA BAADA YA TIMU YAO KUKOSA KOMBE LA CRICKET DHIDI YA NCHINI YA INDIA.
Read More
FURAHA YA USHINDI !

FURAHA YA USHINDI !

WACHEZAJI WA MANCHESTER UNITED WAKISHANGILIA BAO LILILOFUNGWA NA PARK DHIDI YA CHELSEA KATIKA MASHINDANO YA CHAMPIONS LEAGUE KATIKA UWANJA W...
Read More
DROGA AKISHANGILIA GOLI

DROGA AKISHANGILIA GOLI

MSHAMBULIAJI WA CHELSEA DROGBA AKISHANGILIA GOLI BAADA YA KUFUNGA BAO DHIDI YA MANCHESTER U KATIKA MASHINDANO YA CHAMPIONS LEAGUE AMBAPO KAT...
Read More