BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

HABARI MPYA !!!!!!!!!!!!!! MAHAKAMA YATENGUA MATOKEO YA UBUNGE JIMBO LA ARUSHA MJINI.





ALIYEKUWA MBUNGE WA JIMBO LA ARUSHA MJINI KUPITIA TIKITI YA CHADEMA, GODLESS LEMA AKIZUNGUMZA NA VYOMBO MBALIMBALI VYA HABARI MJINI ARUSHA.

Mahama kanda ya Arusha imetoa hukumu ya baada ya kusikiliza kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi uliofanyika mwaka 2010 katika jimbo la Arusha ambaye mgombea wa Chadema Godbless Lema alishinda uchaguzi huo ambapo kwa sasa jimbo hilo halina mwakilishi katika bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Habari zaidi tutaendelea kujulishana.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: