BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

NYAYA ZAIDI 120 ZAMATWA KATIKA OPERESHENI YA KUSAKA MITEGO KATIKA HIFADHI YA WANYAMAPORI YA GONABEACH MOROGORO.

Msaidizi Muhifadhi wa wanyamapori wilaya ya Morogoro, Abdallah Mtiba akionyesha mitengo ya nyaya za wanyamapori zaidi ya 120 ambazo majangili kuliwatega wanyama katika hifadhi ya wanyamapori ya GONABEACH inayozunguka vijiji 21 vya kata ya Bwakila chini na Kisaki mara baada ya kuzikamata akiwaonyesha waandishi wa habari (hawapo pichani) katika ofisi za idara hiyo mkoani hapa.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: