Waziri Mkuu wa Uingereza, David Cameron.
SHIRIKA la kimataifa la misaada
la Save the Children kwa mara ya kwanza linahitaji kiasi cha Dola 800 na kutoa wito
wa upatikajani wa misaada kusaidia watoto maskini nchini Uingereza.
Utafiti uliofanywa na shiurika hilo umebaini kuwa baadhi ya watoto wengi katika familia hizo maskini watoto wao wamekuwa wakienda shuleni wakiwa na njaa na bila mavazi ya msimu wa baridi.
0 comments:
Post a Comment