BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

TASWIRA YA WAZIRI WA MAMBO YA NCHI EMMANUEL NCHIMBI AKIWA KWENYWE MAANDAMANO YA WAANDISHI LEO ASUBUHI


Waziri wa Mambo ya Ndani, Dk. Emmanuel Nchimbi akiingia kwenye mkutano wa wanahabari viwanja vya Jangwani, Dar es Salaam leo, walioandamana kupinga mauaji ya mwandishi mwenzao, Daudi Mwangosi wa Channel Ten Tv,
Waziri wa Mambo ya Ndani Dk.Emmanuarl Nchimbi akajaribu kuwatuliza... waandishi bila mafanikio amabao walimtaka aondoke haraka enepo hilo
Waziri wa Mambo ya Ndani Dk.Emmanuarl Nchimbi akiondoka akisindikizwa na viongozi wa Jujwaa la Wahariri
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: