Waziri wa Mambo ya Ndani, Dk. Emmanuel Nchimbi akiingia kwenye mkutano wa wanahabari viwanja vya Jangwani, Dar es Salaam leo, walioandamana kupinga mauaji ya mwandishi mwenzao, Daudi Mwangosi wa Channel Ten Tv,
Waziri wa Mambo ya Ndani Dk.Emmanuarl Nchimbi akajaribu kuwatuliza... waandishi bila mafanikio amabao walimtaka aondoke haraka enepo hilo
Waziri wa Mambo ya Ndani Dk.Emmanuarl Nchimbi akiondoka akisindikizwa na viongozi wa Jujwaa la Wahariri
0 comments:
Post a Comment