BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

YANGA YAVUNA POINTI TATU MBELE YA RUVU SHOOTING WAKATI IKIIBUKA NA USHINDI WA BAO 3-2 LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA UWANJA WA TAIFA

Mchezaji wa timu ya Yanga ya jijini Dar es salaam, Haroun Niyonzima kushoto akimiliki mpira mbele ya beki wa timu ya Ruvu Shooting ya Pwani katika mchezo wa ligi kuu ya Vodacom uliofanyika kwenye uwanja wa Taifa jioni hii  jijini Dar es salaam, mpira umekwisha  timu ya Yanga imeifunga Ruvu Shooting  magoli 3-2, Mchezaji wa Yanga Jerrison Tegete akishangilia mara baada ya kufunga goli la pili katika mchezo huo na kufanya kipindi cha kwanza kumalizika timu zikitoshana nguvu kwa magoli, mpaka kipindi cha pili ambapo Yanga iliongeza goli la tatu na kufanya matokeo hayo kuwa 3-2
Mashabiki wa timu ya Yanga wakizikilizaia maumivu wakati timu yao ilipokuwa iko nyuma kwa magoli 2-0 dhidi ya Ruvu Shooting kabla ya kukomboa magoli hayo  na kuongeza goli la tatu katika kipindi cha pili.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: