BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

KOCHA BENITEZ ACHUKUA MIKOPA YA DI MATTEO KATIKA KLABU YA CHELSEA.


KLABU ya Chelsea imemteua kocha wa zamani wa Liverpoool Rafael Benitez kuiongoza timu hiyo hadi mwisho wa msimu huu.
  
Uteuzi wa Benitez unakuja siku koja tu baada ya kufutwa kazi kwa Roberto Di Matteo kutokana na matokeo mabaya katika mchuano wa kuwania taji la klabu bingwa barani Ulaya baadaya kufungwa na Juventus mabao 3 kwa 0.

Benitez mwenye umri wa miaka 52 anakuwa kocha wa tisa wa the Blues chini ya uongozi wake Abramovich alipoanza kuogoza timu hiyo kuanzia mwaka 2003.

Duru zinasema kuwa mmiliki wa klabu hii Roman Abramovich huenda akamwajiri kocha wa zamani wa Barcelona Pep Guardiola msimu ujao.

Beniteza anatarjiwa kukutana na wachezaji wa chelsea hivi leo na kuanza mazoezi kabla ya kucheza na Manchester City mwishoni mwa juma
 
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: