
Mmoja wa vikojozi akiwa amejikojolea akiwa usingizini.
TANZANIA ina idadi kubwa zaidi ya watu wazima wanaokojoa vitandani kuliko kenya na hata Uganda.
Tanzania ina watu wazima vikojozi, laki 5 wakati Kenya inafuata kwa ukaribu kabisa kwa kuwa na vikojozi wanaume na wanawake laki laki 4 tu huku Uganda ikishika mkia ikiwa na vikojozi chini ya idadi hiyo hapo.
Wanasayansi wanasema tatizo hilo la watu wazima
kukojoa ni kubwa na linasumbua wengi lakini kwa sababu ni jambo la aibu
wengi hawataki kulijadili.
Kuna mameneja, wabunge na hata mawaziri ambao ni vikojozi
Takwimu zinasema kwamba katika kila watu wazima 100, mmoja wao ni kikojozi.
hivyo nchini ikiwa na idadi kubwa ya watu milioni 50
kama Tanzania, basi jua kuwa watu wazima laki 5, yaani watu nusu milioni
wanakojoa wakiwa usingizini hata kama wana wapenzi wao ama wake zao.
Jee unajua kuwa nchini uingereza kuna chama cha
vikojozi ?.
Watu wazima wanaokojoa wakiwa usingizini mjini London
wameanzisha chama kinachoitwa The Bladder And Bowel Foundation.

0 comments:
Post a Comment