BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

MBUNGE WA MVOMERO ATOA MSAADA WA VITABU KATA YA MBUYUNI, DIWANI WA KATA HIYO AKABIDHI SAMUEL MSUYA.



DIWANI wa kata ya Mbuyuni, Samuel Msuya, akimkabidhi Kaimu Mwalimu Mkuu wa shule hiyo ya kata, vitabu 300 vya masomo ya hisabati na fizikia kwa ajili ya kufundishia wanafunzi wa kidato cha kwanza hadi cha nne, kulia kwake ni mbunge wa jimbo la Mvomero, Amos Makalla ambaye ndiye alimpatia msaada huo wenye thamani ya sh 4Mil.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: