BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

SULUHU YA KUSAKA AMANI KATI YA ISRAEL NA GAZA YA YASAKWA.

KIKAO KINAFANYIKA MISRI.
Waziri wa Mashauri ya nChi za Nje wa Israel, Avigdor Lieberman
Mjini Cairo juhudi za kutafuta makubaliano ya kusitisha mapigano baina ya Israel na Wapalestina wa Gaza zimezidishwa. 

Ujumbe wa Israel umewasili Cairo na kwenda moja kwa moja kwenye mazungumzo na wakuu wa Misri.

Jumamosi Misri ilifanya mazungumzo na wakuu wa Hamas, waziri mkuu wa Uturuki na mfalme wa Qata.

Waziri wa Mashauri ya nchi za Nje wa Israel, Avigdor Lieberman, alisema shuruti ya kwanza na ya lazima kabla ya kusitisha mapigano, ni kwamba Wapalestina lazima waache kurusha makombora kutoka Gaza kuyaelekeza Israel.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: