BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

MOTO WATEKETEZA GHARA LA KUHIFADHIA BIDHAA UBUNGO LEO

Wafanyakazi wa Zima Moto wakijitahidi kuzima moto uliokuwa ukiwaka katika ghara la kuhifadhia bidhaa eneo la Shekilango Ubungo Dar es Salaam, leo mchana. Picha na Amani Tanzania
 Magari ya vikosi vya zimamoto yakimwaga maji ili kuzima moto huo.
 Vifaa vilivyookolewa kutoka ndani ya ghara hilo.
Jitihada za kuzima moto huo zikiendelea.......
Moto huo ukizidi kusambaa...

Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: