Mshindi wa promosheni ya Tigo 'Miliki Biashara Yako'
Rashid Hussein Rashid kutoka Morogoro akionyesha furaha ndani ya Bajaji
aliyoshinda mara baada ya kukabidh
iwa rasmi zawadi hiyo katika hafla fupi
iliyofanyika soko kuu, Morogoro. PICHA JUMAMTANDA.BLOGSPOT.COM
Mshindi wa promosheni ya Tigo ‘Miliki Biashara Yako’
Bw. Rashid Hussein Rashid kutoka Morogoro akiangalia namba za usajili na leseni
ya barabarani (road license) ya Bajaji yake mpya aliyoshinda mara baada yakukabidhiwa
rasmi na Mtaalam wa Masoko Tigo Bw. Alex Msigara katika hafla fupi iliyofanyika
soko kuu, mkoani humo.

MSIGARA AKIMWANGALIA MSHINDI MUDA MFUPI KABLA YA KUMKABIDHI.
AKIONGEA NA VYOMBO VYA HABARI MARA BAADA YA KUMALIZIKA ZOEZI HILO.
SEHEMU YA MBELE YA BAJAJ HIYO INAVYOONEKANA
RASHID HUSSEIN AKIELEKEA KUKABIDHIWA BAJAJ.
Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
0 comments:
Post a Comment