
Bondia wa ngumi za kulipwa Tanzania, anayeshikilia mikanda lukuki ikiwemo wa WBF, Francis Cheka, amefungwa kifungo cha miaka mitatu jela leo Februari 02/ 2015 kwa kosa la kumshambulia Meneja wake mkoani Morogoro katika mahakama ya hakimu mkazi Morogoro.
Kwa habari zaidi endelea kutembelea blog hii......

0 comments:
Post a Comment