Rais Barrack Obama akifurahia jambo.Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe anataka kumuoa mwenzake wa Marekani Barrack Obama baada ya mahakama kuu nchini Marekani kuhalalisha ndoa za wapenzi wa jinsia moja kote nchini.
Rais Robert Mugabe.
Rais Barrack Obama akifurahia jambo.
0 comments:
Post a Comment