BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

MKURUGRNZI MKUU WA WAKALA WA VITAMBULISHO VYA TAIFA (NIDA) ABURUZWA MAHAKAMANI KISUTU DAR

Aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Vitambulisho vya Taifa (NIDA), Bw.Dickson Maimu (wa 3 kushoto), akiwa na wenzake Mahakamani ya Hakimu Mkazi Kisutu, muda huu Jumatano Agost 17,2016.

Huyu alitumbuliwa mapema mwaka huu na Rais JPM kwa ubadhilifu.Amin amin nawahakikishia kuwa tutaheshimiana tu hapa mjini siku si nyingi.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: