BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

MAISHA YA BARACK OBAMA BAADA YA KUMALIZA KAZI YA URAIS WA MAREKANI


Rais mstafu wa Marekani, Barack Obama akiwa kwenye moja ya michezo ya kwenye mahi ikiwa ni wiki tatu tu zilizopita kumpisha Donald Trump kuongoza nchi hiyo.


Kwa sasa Obama yupo katika Visiwa vya Karibiani ambapo amekuwa na mmiliki wa Kisiwa hicho Bilionea, Richard Branson akifurahisha nafsi.

Hayo ndio maisha baada ya kazi ngumu moyo huhitaji faraja.


Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: