Klabu ya Yanga SC imesonga mbele mashindano ya Sportpesa Cup 2017 baada ya kuiondosha Tusker Sugar ya Kenya kwa bao 4-2 katika mchezo uliomalizika kwa kuamuliwa na mikwaju ya changamoto ya penalti uwanja wa taifa jijini Dar es Salaam
Yanga na Tusker zilimaliza dakika 90 kwa suluhu ya 0-0 na kulazimika kwenda kumpata mshindi kwa mikwaju ya penalti ambao Yanga imesonga mbele
Penalti za YANGA
Nadir Harubu Canavaro 1.
Obrem Chirwa 2.
Maka Edward Mwakarukwa 3.
Said Mussa 4.
Penalti za TUSKER FC.
Wavula Noah 1.
Usuma Byan 2.
X 3.
Urusu Steven X.
MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO
Home / michezo /
slider
/ YANGA SC YASONGA MBELE SPORTPESA CUP 2017 BAADA YA KUIADHIBU TUSKER FC YA KENYA BAO 4-2.
- Blogger Comment
- Facebook Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments:
Post a Comment