BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

MMEONA MUZIKI WA MSANII SHILOLE UNAVYOCHEZWA JUKWAANI ?, ADAIWA KUNYONYWA MATITI MBELE YA UMATI WA MASHABIKI WA MUZIKI WA KIZAZI KIPYA.


Shabiki huyu sijui alimruhusu amnyonya maziwa Shilole baada ya kumuita jukwaani ili wach

eze wote. Mhhhhh hatari kweli kweli.
Kazi ipo !!!, Shilole akionyesha kulegea baada ya kunyonywa na shabiki wake huyu mwanaume.

jamaa akifaiti ziwa la Shilole


Angalau hapa pamekaa vyema kwa uchezaji japo kidogo !!!. Aina hii ndiyo inaanza hivi. Hii nayo ni aina nyingine pindi anapokuwa anacheza na shabiki, haki ya nani balaa tupu. Huyu ndo Shilole katikati ya mwili wa mwanaume ambaye anadaiwa kuwa ni shabiki wake, hii ni aina nyingine ya uchezaji wa muziki wa Shilole namna unavyochezwa.
Sijui huu ndiyo muziki gani unaochezwa hivi, sidhani kama mtu atasutwa kufanishwa na kitendo hiki kinachofanywa na watu wenye jinsia mbili tofauti katika faragha.



Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

3 comments:

Anonymous said...

TO BE HONEST SIJAPENDAA KBISAA STYLE YAKE HII MAANA INAWAFUNDISHA NN JAMIII KAMA SIO UMALAYAAAA TUUU

Unknown said...

ningekuwa waziri wa utamaduni na michezo ningefungia muziki wa aina hii!

Unknown said...

wanaoshabikia maovu ndio wanaokuza sokola wacheza uchi,wasanii wanajua fika kuwa wakicheza staili za ngono mashabiki wengi wanapenda ndio maana wanafanya hivyo ili kushibisha njaa ya soko,ibadilike jamii na kukemea vitendo viovu wasanii hawa watakosa mahala bpa kufanyia uchafu wao